Dereva yeyote aliyesajili Taxi, Bajaj au Bodaboda yake nasi anaweza kutumia kupata abiria kwa ufanisi zaidi
Chagua Twende Dereva Sasa!
1. Pakua 'Twende Dereva' bure, kisha jisajili kwa gmail na chombo chako.
2. Chagua kifurushi chako cha mwezi na fanya malipo kwa mtandao wako.
3. Tutakuweka kwenye ramani kisha utaanza kupokea maombi ya abiria
4.Abiria atalipa nauli kwa fedha taslimu kulingana na muda pamoja na umbali.
5. Thaminisha na toa maoni kuhusu abiria na safari kwa ujumla
Kwa taarifa zaidi tembelea www.twende.co.tz