Audio Bible Swahili offline

Audio Religious Book

Audio Bible Swahili offline

کتاب‌ها و منابع
  • 0.00
(0 رای)

نصب رایگان

50000

نصب ها

Android 5.0+

نسخه حداقل

با تبلیغات

تبلیغات

14.08.2018

تاریخ انتشار

توضیحات:

Biblia ni jina la jumla kwa ajili ya vitabu vitakatifu vya dini ya Uyahudi na hasa ya Ukristo. Neno limetokana na lugha ya Kigiriki ambayo ndani yake βιβλία (biblia) ina maana ya "vitabu" ikiwa ni wingi wa βιβλος (biblos). Hii ni kwa sababu Biblia ni mkusanyo wa maandiko mbalimbali yaliyoweza kutungwa kwa muda wa miaka 1000 hivi.

Hivyo Biblia ni tofauti na vitabu vingine kwa sababu iliandikwa na watu mbalimbali ambao hawakuwa pamoja wala hawakuandika kwa wakati mmoja, lakini vitabu vyote vimekusanywa na kuunda kitabu kimoja cha Biblia. Inasadikiwa na Wayahudi na Wakristo kwamba "Biblia ni kitabu kilichoandikwa na watu kwa uwezo wa Mungu".

Kuchagua kitabu kusikiliza:

AGANO LA KALE
AGANO JIPYA

Audio Religious Book برنامه های دیگر

دانلود